Skip to main content

ZIARA YAKUKAGUA MIRADI INAYOTARAJIWA KUZINDULIWA NA MBIOZA MWENGE MWAKA HUU

 


Mkuu wa Wilaya Kakonko Kanali Evance Mesha Mallasa,amewataka wataalam,wanaosimamia na kuratibu miradi mbali mbali ya maendeleo inayo tarajiwa Kuzinduliwa na Mbio za mwenge mapema mwezi Agosti Mwaka huu,kuhakikisha wanamaliza changamoto zilizobakia katika miradi hiyo ambayo itazimduliwa na mbio za Mwenge Wilayani Kakonko.



Wito huo umetolewa  Julai 12,2023 wakati wa ziara ya kukagagua miradi hiyo inayoendelea  kutekelezwa.


"Ndugu zangu,muda uliobaki wa kukamilisha na kuondoa dosari ndogo ndogo zilizopo ni Mchache kabla ya Ujio wa Mwenge wa Uhuru Wilayani kwetu,niwatake wataalamu wote wanaohusika na miradi hii,kujitahidi kuondoa changamoto tunazoziona,Ili kuepuka miradi kukataliwa na viongozi wa Mbio za Mwenge....itakua ni fedheha Kwa Wilaya na mkoa kwa ujumla kwani taswila halisi ya mkoa wa kigoma katika mbio za Mwenge mwaka huu itaonekana  Kuanzia Wilayani Kakonko"Alisema Kanali Mallasa.



Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kakonko Bw.Ndaki Stefano Mhuli,amewaelekeza wataalam mbalimbali katika miradi hiyo kuweka kambi katika miradi hiyo Ili kushughulikia changamoto hizo,pamoja na kutoa taarifa ya Kila kinacho endelea  kwa muda wote wanapokua katika maeneo ya miradi.



Miradi hiyo ni Ujenzi wa vymba 8 vya madarasa na ofisi 3 za walimu Shule ya wasichana Kakonko,Kiwanda Cha kutengeneza mkaa mbadala Itumbiko,ujenzi wa Ikulu ndogo Kakonko,Barabara ya Lami Kakonko -Itumbiko,Kituo Cha Mafuta Glory to God,Klabu ya wapinga Rushwa Shule ya Sekondari Buyungu,Ujenzi wa Ofisi ya Afisa Tarafa Kasanda, na Zahanati ya Ilabiro kata ya Gwanumpu

Comments

Popular posts from this blog

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

TISS YAPATA BOSS MPYA.

  Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, Amemteua Bw.Said Hussein Masoro kuwa Mkurugenzi mkuu wa Idara ya Usalama wa taifa,Kuchukua nafasi ya Kamishina Diwani Athuman Msuya  Ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Kabla ya Uteuzi huo Bw.Masoro alikua akihudumu katika Idara ya Usalama wa Taifa kama Naibu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa shughuli za  ndani wa Usalama wa Taifa. Wakati huo huo Rais Dkt.Samia amemteua Balozi Hussein Othman Katanga Kuwa Balozi wa Tanzania mjini New York, Nchini Marekani na muwakilishi wa kudumu wa Umoja wa Mataifa. Balozi Katanga anachukia nafasi ya Balozi Profesa Kennedy Gaston,Ambaye Uteuzi wake umetenguliwa. Balozi Katanga kabla ya Uteuzi huu alikua Katibu Mkuu Kiongozi. Vile vile Mhe.Rais Dkt.Samia amemteua Bw.Moses Mpogole Kusiluka Kuwa Katibu Mkuu Kiongozi,Ambapo kabla ya Uteuzi huo alikua Katibu Mkuu Ikulu. Taarifa Rasimi Kutoka Kurugenzi ya mawasiliano ya Raisi Ikulu iliyotolewa mapema Jana Januari 3,2023, i...