Skip to main content

WANANCHI WAASWA KUFANYA MAZOEZI KUIMARISHA AFYA.

Mkuu wa Wilaya Kakonko Kanali Evance Mesha Mallasa, amewaasa  wananchi Wilayani humo kujenga tabia ya kufanya Mazoezi na kushiriki Michezo mbalimbali Ili kuimarisha afya na kuepuka magonjwa mbali mbali.



Kanali Mallasa ametoka wito huo,wakati wa kikao Cha sherehe za kukaribisha mbio za Mwenge kilichofanyika tarehe 18,Julai,2023 katika ukumbi wa Halmashauri Wilaya Kakonko.


"Niwaombe Kila mkuu wa Idara  Taasisi hata Mwananchi mmojammoja  Kwa pamoja,kujitokeza kushiriki Mazoezi Ili kuimarisha afya na kuepukana na Magonjwa mbalimbali ambayo tiba yake inaweza Kuwa ni Mazoezi tu"ameeleza Kanali Mallasa



Kwa upande mwingine Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kakonko,Bw.Ndaki Stefano Mhuli,Amesema uongozi wa Halmashauri unatambua umuhimu wa Mazoezi na michezo kwa ujumla,hivyo umetenga siku ya Jumamosi kama siku maalum kwaajiri ya Watumishi wa Halmashauri kushiriki Mazoezi na Michezo,Ili kuimarisha afya zao.



"Mhe.mkuu wa Wilaya niseme tu Jambo hili tunalichumilia kwa uzito,Ili kuimarisha Afya, ...Mazoezi ni lazima kwa kila mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya Kakonko,Michezo ni Afya na ni undugu pia" amesema Bwa.Ndaki.


Mwenge wa Uhuru unatarajia kuingia Mkoani Kigoma Tarehe 16,Agosti 2023, ambapo utapokelewa Wilayani Kakonko na kizindua miradi Mbalimbali ya maendeleo Wilayani humo.

Comments

Popular posts from this blog

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

TISS YAPATA BOSS MPYA.

  Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, Amemteua Bw.Said Hussein Masoro kuwa Mkurugenzi mkuu wa Idara ya Usalama wa taifa,Kuchukua nafasi ya Kamishina Diwani Athuman Msuya  Ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Kabla ya Uteuzi huo Bw.Masoro alikua akihudumu katika Idara ya Usalama wa Taifa kama Naibu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa shughuli za  ndani wa Usalama wa Taifa. Wakati huo huo Rais Dkt.Samia amemteua Balozi Hussein Othman Katanga Kuwa Balozi wa Tanzania mjini New York, Nchini Marekani na muwakilishi wa kudumu wa Umoja wa Mataifa. Balozi Katanga anachukia nafasi ya Balozi Profesa Kennedy Gaston,Ambaye Uteuzi wake umetenguliwa. Balozi Katanga kabla ya Uteuzi huu alikua Katibu Mkuu Kiongozi. Vile vile Mhe.Rais Dkt.Samia amemteua Bw.Moses Mpogole Kusiluka Kuwa Katibu Mkuu Kiongozi,Ambapo kabla ya Uteuzi huo alikua Katibu Mkuu Ikulu. Taarifa Rasimi Kutoka Kurugenzi ya mawasiliano ya Raisi Ikulu iliyotolewa mapema Jana Januari 3,2023, i...