Skip to main content

TOENI HUDUMA KWA KUZINGATIA MAADILI-KANALI MAGWAZA




Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Kanali Aggrey John Magwaza ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kibondo ameyahimiza Mashirika yasiyo ya kiserikali kutoa huduma kwa kuzingatia misingi na maadili ya kitanzania.

Kanali Magwaza amesema hayo katika Warsha ya Mkutano wadau wa Mashirika yasiyo ya kiserikali Wilayani Kakonko iliyofanyika Mei 16, 2023, katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko.

Mkuu wa Wilaya ameeleza katika kipindi hiki yameibuka mashirika yanayounga mkono suala la ndoa za jinsia moja jambo ambalo si jema katika jamii za kiafrika, hivyo ameyasisitiza mashirika kutotekeleza shughuli hizo hata kama ni sehemu ya majukumu yao.

Aidha katika hotuba yake ameeleza anatambua mchango mkubwa unaotolewa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na anayapongeza kwa mchango huo vile vile kuna baadhi ya mashirika yasiyokuwa ya kiserikali hapa nchini yamekuwa hayazingatii wajibu wao wa kisheria hivyo kusababisha malalamiko na manung’uniko kutoka kwa wananchi na baadhi ya wadau  wa maendeleo wanaotoa fedha zao kuchangia katika juhudi za nchi kujiletea maendeleo.



‘Naiagiza Halmashauri kupitia ofisi ya maendeleo ya jamii kuhakikisha mashirika yote yasiyokuwa ya kiserikali yanatekeleza shughuli zao kulingana na usajili, malengo na vipaumbele vya taifa, aidha ninayataka mashirika  yasiyokuwa ya kiserikali yajielekeze kufanya kazi maeneo yenye uhitaji ikiwemo vijiji badala ya kujikita maeneo ya mjini pekee’. Alisema kanali Aggrey Magwaza.



Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko Ndaki Stephano Mhuli ameeleza mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yamekuwa na msaada mkubwa sana katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko kwani mashirika yanafanya kazi nzuri ya kuchangia katika ujenzi wa madarasa, ujenzi wa vituo vya afya, ujenzi wa wodi ya mama na mtoto pia wamefanya shughuli ya ugawaji wa taulo kwa watoto wa kike shuleni na ugawaji wa baiskeli kwa wanafunzi wa kike wanaotembea umbali mrefu hasa wanaoishi katika mazingira magumu.

CHANZO:HALMASHAURI WILAYA KAKONKO

Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

GET TO KNOW WHAT IS INTERNENT

What is Internet The internet in simple terms is a network of the interlinked computer networking worldwide, which is accessible to the general public. These interconnected computers work by transmitting data through a special type of packet switching which is known as the IP or the internet protocol. Internet is such a huge network of several different interlinked networks relating to the business, government, academic, and even smaller domestic networks, therefore internet is known as the network of all the other networks. These networks enable the internet to be used for various important functions which include the several means of communications like the file transfer, the online chat and even the sharing of the documents and web sites on the WWW, or the World Wide Web. It is always mistaken said that the internet and the World Wide Web are both the same terms, or are synonymous. Actually there is a very significant difference between the t...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...