Skip to main content

MAAFISA UGANI KUANZA KUWAFIKIA WAKULIMA MOJA KWA MOJA

 



Maafisa Ugani wilayani kibondo mkoani kigoma , wamesema kwa sasa wataanza kutumia mbinu ya kumfikia mkulima mmoja mmoja ili kuongeza tija katika kilimo na kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo .

Wamesema hayo baada ya kukabidhiwa pikipiki kwa ajili ya kuwawezesha kuwatembelea wakulima na kuwashauri njia na mbinu Bora  za kilimo ili kufikia azima ya serikali ya sekta ya kilimo kuchangia asilimia kumi ya pato la Taifa ifikapo 2030.

Wamesema awali walikuwa wakitumia mbinua ya shamba darasa kuwafundisha wakulima kutokana na kukosa usafiri lakini kwa sasa baada ya kuwezeshwa usafiri wataweza kuwatembelea na kumfikia mkulima mmoja mmoja lengo ikiwa ni kuongeza tija katika kilimo.

Mkuu wa wilaya ya Kibondo Kanali Agrey Magwaza amewaagiza Maafisa Ugani hao kuzitumia pikipiki walizopewa kuwafikia wakulima na kwamba serikali itafanya ufuatiliaji kuhakikisha pikipiki hizo zinatoa mchango katika sekta ya kilimo kupitia ushauri wa maafisa ugani kwa wakulima.

Chanzo: Kigoma Press Club 

Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

GET TO KNOW WHAT IS INTERNENT

What is Internet The internet in simple terms is a network of the interlinked computer networking worldwide, which is accessible to the general public. These interconnected computers work by transmitting data through a special type of packet switching which is known as the IP or the internet protocol. Internet is such a huge network of several different interlinked networks relating to the business, government, academic, and even smaller domestic networks, therefore internet is known as the network of all the other networks. These networks enable the internet to be used for various important functions which include the several means of communications like the file transfer, the online chat and even the sharing of the documents and web sites on the WWW, or the World Wide Web. It is always mistaken said that the internet and the World Wide Web are both the same terms, or are synonymous. Actually there is a very significant difference between the t...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...