Skip to main content

MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI KAKONKO.

 

Katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya maji Wilayani Kakonko,kaimu katibu tawala wa Wilaya Kakonko Bw.Aman Alexander, kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Kakonko Kanali Evance Malasa,amewaongoza wananchi wa Kijiji Cha Nyakayenzi kilichopo kata ya Kasuga wilayani Kakonko kupanda miti katika chanzo cha maji Nyakayenzi,leo Tarehe 21,Machi,2023.




Akizungumza wakati wa zoezi hilo kaimu katibu tawala Bw.Alexander amewasisitiza viongozi wa vijiji kupitia kamati za maendeleo, kuendelea kuwahamasisha wananchi kupanda miti hasa katika vyanzo vya maji Ili kivilinda vyanzo hivyo Pamoja na kukabiliana na mabadiliko tabia nchi.

"Viongozi tushirikiane kupanda miti rafiki katika  vyanzo vya maji.. Ili kivitunza vyanzo hivi vya maji ,pamoja na kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi"


Aidha Bw.Alexander amewaomba wananchi kukubali kupokea miradi mbali mbali inayoletwa kutekelezwa katika vijiji vyao na waitunze kwani miradi hiyo ndiyo inayochochea maendeleo yanayokusudiwa na Serikali.


Kwa upande mwingine kaimu katibu tawala Bw.Alexander  amezindua mradi wa maji   katika Kijiji Cha Nyakiyobe kata ya Gwarama,Mradi uliotekelezwa Kwa ufadhili wa shirika lisilo la kiserikali la Danish Refugee Council (DRC) likishirikiana na Wakala wa Maji na usafi wa mazingira Vijijini (RUWASA) Wilaya ya kakonko


Naye Kaimu mkurugenzi wa RUWASA Wilaya Kakonko Bw.Denis Manji, akisoma taarifa ya utekelezaji  mradi huo mbele ya mgeni rasimi, ameeleza mradi huo wenye thamani ya zaidi milioni  336  unatarajia kuhudumia takribani wakazi 3000 wa Kijiji Cha Nyakiyobe na vitongoji vyake, ambapo wananchi watapata huduma ya maji kwa kuchangia shilingi kumi (10) kwa ndoo katika magati yaliyojengwa maeneo hayo.




Akizindua Mradi huo Kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Kakonko,Kanali Evance Malasa,Kaimu katibu Tawala wa Wilaya Kakonko Bw.Alexander ameendelea kuwasisitiza wananchi kutunza vyanzo vya maji na miundombinu yake Ili viendelee kuwahudimia Kwa ufanisi na Kwa muda mrefu zaidi.





"Nitoe wito Kwa wana Nyakiyobe, Kwenye vyanzo vya maji Shirikianeni na Serikali za Vijiji kuzuia shughuli za kibinadamu kufanyika maeneo hayo Ili kulinda vyanzo vya maji..." Alisema Bw.Alexander.

"Wananchi ambao mabomba ya maji yanapita maeneo yenu yakiwemo mashamba  msiyakate ..

mabomba hayo, ...mabomba hayasababishi mazao yasiote au yataotesha Vitu vingine, hivyo itunzeni miundombinu ya maji" aliongeza Kaimu katibu tawala.

Wiki ya Maji wilayani Kakonko imefikia kilele chake leo tarehe 21,March 2023,Ikiwa na Kauli mbiu "Kuongeza kasi ya mabadiliko katika sekta ya maji kwa maendeleo endelevu ya Uchumi".



Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

GET TO KNOW WHAT IS INTERNENT

What is Internet The internet in simple terms is a network of the interlinked computer networking worldwide, which is accessible to the general public. These interconnected computers work by transmitting data through a special type of packet switching which is known as the IP or the internet protocol. Internet is such a huge network of several different interlinked networks relating to the business, government, academic, and even smaller domestic networks, therefore internet is known as the network of all the other networks. These networks enable the internet to be used for various important functions which include the several means of communications like the file transfer, the online chat and even the sharing of the documents and web sites on the WWW, or the World Wide Web. It is always mistaken said that the internet and the World Wide Web are both the same terms, or are synonymous. Actually there is a very significant difference between the t...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...