Skip to main content

TANZANIA YAPOKEA MKOPO WA TRILIONI 1.8 TOKA BENKI YA DUNIA.

 


Serikali ya Jamuhuhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imepokea mkopo wa Dola za Marekani Milioni 775 (tsh trilion 1.8) Kutoka Benki ya Dunia.

Taarifa Rasimi Kutoka Wizara ya Fedha na Mipango,inasema Fedha hizo za  mkopo na msaada wa masharti nafuu zimetolewa Kwa Serikali ya Tanzania kwaajiri ya kusaidia Utekelezaji wa Bajeti,Kuboresha Uchumi na Huduma za afya.

Aidha Wizara imeainisha mchanganuo wa Fedha hizo Kuwa Dola za marekani milioni 500 (Sawa na shilingi trilioni 1.1)zitatolewa na shirika la kimataifa la Maendeleo(IDA), kwa ajiri ya kufufua uchumi ulio athiriwa na mlipuko wa Ugonjwa wa UVIKO 19 pamoja na Vita  vinavyo endelea kati ya Urusi na Ukiraine.

Vile vile Dola za Marekani milioni 25 (sh.bilioni 58.1) zitatolewa kama Msaada na mfuko Wa Dunia wa kusaidia Wanawake,Vijana na watoto.

Wizara imeainisha Matumizi ya Fedha zote kuwa,Dola milioni 250(sh.Bilioni 581) Zitatumika kwaajiri ya Program ya Afya ya mama na mtoto Kwa njia ya kupima matokeo (PfoR) inayotekelezwa Tanzania Bara,na Dola za Marekani milioni 25(sh.Bilioni 58.1) Zitatumika kwaajiri ya mradi wa Uwekezaji  kiuchumi(IPF) Kwa upande wa Zanzibar.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Mwigulu Lameck Nchemba Amesema kuwa Fedha hizo zinatarajiwa kuanza kuingia nchini mapema Mwishoni mwa juma hili (Ijumaa).

Benki ya Dunia imetoa Fedha za msaada wa kibajeti ikiwa ni baada ya kipindi Cha miaka 8 iliyopita tangu Tanzania inufaike na Msaada huo.

Aidha Benki ya Dunia Pamoja na Shirika la Fedha duniani (IMF) limeipongeza Serikali ya Tanzania chini ya uongozi wa Raisi Dkt.Samia Suluhu Hasan Kwa usimamizi wa Uchumi wake kwa uwazi na uwajibikaji Ambao umezidi kuimarika,  licha ya kuwepo athari za UVIKO 19 na Vita vya Urusi na Ukiraine. 

Vilevile Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani limezisifu Sera za kiuchumi na kifedha za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Chini ya awamu ya sita ya Raisi Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

GET TO KNOW WHAT IS INTERNENT

What is Internet The internet in simple terms is a network of the interlinked computer networking worldwide, which is accessible to the general public. These interconnected computers work by transmitting data through a special type of packet switching which is known as the IP or the internet protocol. Internet is such a huge network of several different interlinked networks relating to the business, government, academic, and even smaller domestic networks, therefore internet is known as the network of all the other networks. These networks enable the internet to be used for various important functions which include the several means of communications like the file transfer, the online chat and even the sharing of the documents and web sites on the WWW, or the World Wide Web. It is always mistaken said that the internet and the World Wide Web are both the same terms, or are synonymous. Actually there is a very significant difference between the t...

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...