Skip to main content

MWANANCHI UMEJIANDAA KUHESABIWA?

 


Tangu Zama za kale Jamii Mbalimbali zilijiwekea utaratibu Wa kuhesabu Watu wake ili kubaini Idadi Yao na kuweza  kuwapatia Mahitaji Yao ya Msingi na kugawanya Rasilimali za Jamii kwa Usawa.

Hata  moja ya Vitabu vya iman imeeleza Namna Jamii ya Watu Wa  walivyo weza kutekeleza zoezi la kuhesabiana ili kutambuana Kichwa kwa Kichwa Nyumba kwa Nyumba,ili Kuwa watambua Jamii ya ile Baada ya kutoka uhamishoni Misri. Uthibitisho wa Jambo Hili unaweza soma Katika Biblia Katika kitabu Cha  Hesabu 1:2-3

Tanzania ikiwa Miongoni mwa Jamii iliyo Chini ya Dunia nayo imefuata utaratibu huu wa kuhesabiana Kama ilivyo fanyika hata Katika Jamii za kale Tangu Zama za Kale.

Sensa si zoezi geni hapa nchini Tanzania Kwani Miaka kadhaa iliyopita limefanyika, sensa ya kwanza ikiwa Ni Mwaka 1967, nakufuatiwa nazoezi la Sensa nyingine Kati ya mwaka 1978,1988, 2002 Na sensa ya Mwisho ilifanyika Agost, 2012.

Sensa itakayo fanyika Mapema Agosti 23,2022 itakua Ni sensa ya Sita Tangu Tanzania ipate uhuru wake Mwaka 1961,Ikiwa na lengo la kutambua idadi ya Watu nchini,Pamoja na kuisaidia Serikali kuandaa mipango yake na sera za Kimaendeleo ili kuweza kuwahudumia wananchi kikamilifu.

Serikali ya Tanzania Baada ya Kupata uhuru ilijiwekea utaratibu kisheria wa kuhesabiwa kila Baada ya Miaka 10,

Wakati Wa Zoezi Hili la Sensa,zipo Imani Mbali mbali Miongoni mwa baadhi ya Jamii,kwa kulihusisha Zoezi Hili na Imani potofu zinazojengeka Miongoni mwao.Zipo Jamii zilizojenga Imani Kuwa kuhesabiwa hupelekea Watu Kuja kushindwa kuzaliana,Na zipo Jamii huhusisha zoezi hili na Imani Kuwa kuhesabiwa Ni Dalili za Mwisho wa Dunia Au  Kiama .Jamii zingine Zinaamini katika tamaduni zao Kuwa kuhesabiwa kwa Watu Ni kinyume na Imani za miungu wanayoiabudu na kuiamini,Na Jamii zingine zina husisha zoezi Hili la Sensa na ujio wa Dini Mpya ya Iluminati(Freemason)

Hakika Jamii Mbalimbali ndani ya Nchi zinapaswa kuelimishwa Juu ya umuhimu wa Zoezi Hili Adhimu la Sensa kwa kina kwa kuanzia ngazi ya mtu mmoja mmoja, Familia,Ubalozi wa Nyumba kumikumi,Mtaa,kitongoji,Kijiji  ngazi ya kata,Wilaya Mkoa Hadi Taifa Juu ya umuhimu na Faida ya Zoezi la Sensa.

Zoezi la Sensa au kwa Lugha Rahisi Kuhesabiana,Zoezi linalo tarajiwa Kufanyika Agosti 23,2022 linazo Faida Kubwa Katika Jamii na Taifa kwa ujumla.

Zoezi la Sensa litasaidia Kujua idadi ya Wananchi Nchi nzima, kwa Umri wao na Jinsia.

Zoezi la Sensa litasaidia Kutayarisha mipango ya maendeleo,Kupitia Takwimu zitakazo patikana  zitatumika kuandaa Mipango na sera za Kimaendeleo,Zitakazo rahisisha kuainisha Misingi Katika kufanya Maamuzi Mbalimbali kwa idara za serikali na mashirika Binafsi Katika Maamuzi na uboreshaji wa huduma kulingana na idadi na mahitaji ya Makundi Mbali mbali yatakayo Kuwa yameainishwa na Takwimu za Sensa.

Sensa itasaidia kutoa picha halisi ya Hali ya Uchumi na kupima Hali ya Sasa ya Uchumi KWA ngazi ya mtu mmoja mmoja kaya,Mtaa,Kitongoji Kijiji kata na hata Wilaya kwa ujumla,kwa Kulinganisha Takwimu za Sasa na zile za miaka Iliyopita.

Sensa itasaidia Kuweka vipaumbele Katika Mgawanyo wa Rasilimali Katika maeneo Mbalimbali mathalani Kati ya maeneo ya mjini na vijijini kufuatana na Takwimu zitakazopatikana Katika zoezi la Sensa la Agosti 23 Mwaka huu.

Rai Yangu kwa Watanzania wenzangu,tuwape ushirikiano wataalamu watakaotutembelea Katika kaya zetu,Tujibu kwa usahihi Maswali yatakayo kuwa yameorodheshwa Katika Madodoso ya Sensa. Tusijiweke Mbali na zoez hili kwa iman Potofu zinazo jengwa na Baadhi ya Watu.

Hakika Yapo manufaa Mengi kupitia zoezi la Sensa,Wito na shime kwa Watanzania Wote kujiandaa kuhesabiwa,Sensa Ni maendeleo,Ewe Mtanzania jiandae kuhesabiwa ifikapo Agosti 23,2022

Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

MOST CHALLENGES FACING MARKETING MANAGER

Everyone faces problems and challenges in their jobs. And a marketing managers job has gotten tougher with more and more introduction of different media vehicles and different costs of advertising present in the market. In general, a marketing manager of the 21st century faces the following challenges. Budget allocation is a challenge for marketing managers from day one -  Where do you use your budget? Do you use it for TVC’s, hoardings, radio, online or where else? There are so many media vehicles today, and so many variant frequencies of advertising, that media planning has become a big challenge for marketers. If you select the right message but a wrong media, then the message will probably be lost. Differentiation -  The second challenge is differentiation. A customer sometimes watches 6-7 ads in a single minute. If the ads are longer, he will still watch 2-3 ads in every minute of advertisements. So how do you differentiate yourself? What is the message that ne...