Skip to main content

MWANANCHI UMEJIANDAA KUHESABIWA?

 


Tangu Zama za kale Jamii Mbalimbali zilijiwekea utaratibu Wa kuhesabu Watu wake ili kubaini Idadi Yao na kuweza  kuwapatia Mahitaji Yao ya Msingi na kugawanya Rasilimali za Jamii kwa Usawa.

Hata  moja ya Vitabu vya iman imeeleza Namna Jamii ya Watu Wa  walivyo weza kutekeleza zoezi la kuhesabiana ili kutambuana Kichwa kwa Kichwa Nyumba kwa Nyumba,ili Kuwa watambua Jamii ya ile Baada ya kutoka uhamishoni Misri. Uthibitisho wa Jambo Hili unaweza soma Katika Biblia Katika kitabu Cha  Hesabu 1:2-3

Tanzania ikiwa Miongoni mwa Jamii iliyo Chini ya Dunia nayo imefuata utaratibu huu wa kuhesabiana Kama ilivyo fanyika hata Katika Jamii za kale Tangu Zama za Kale.

Sensa si zoezi geni hapa nchini Tanzania Kwani Miaka kadhaa iliyopita limefanyika, sensa ya kwanza ikiwa Ni Mwaka 1967, nakufuatiwa nazoezi la Sensa nyingine Kati ya mwaka 1978,1988, 2002 Na sensa ya Mwisho ilifanyika Agost, 2012.

Sensa itakayo fanyika Mapema Agosti 23,2022 itakua Ni sensa ya Sita Tangu Tanzania ipate uhuru wake Mwaka 1961,Ikiwa na lengo la kutambua idadi ya Watu nchini,Pamoja na kuisaidia Serikali kuandaa mipango yake na sera za Kimaendeleo ili kuweza kuwahudumia wananchi kikamilifu.

Serikali ya Tanzania Baada ya Kupata uhuru ilijiwekea utaratibu kisheria wa kuhesabiwa kila Baada ya Miaka 10,

Wakati Wa Zoezi Hili la Sensa,zipo Imani Mbali mbali Miongoni mwa baadhi ya Jamii,kwa kulihusisha Zoezi Hili na Imani potofu zinazojengeka Miongoni mwao.Zipo Jamii zilizojenga Imani Kuwa kuhesabiwa hupelekea Watu Kuja kushindwa kuzaliana,Na zipo Jamii huhusisha zoezi hili na Imani Kuwa kuhesabiwa Ni Dalili za Mwisho wa Dunia Au  Kiama .Jamii zingine Zinaamini katika tamaduni zao Kuwa kuhesabiwa kwa Watu Ni kinyume na Imani za miungu wanayoiabudu na kuiamini,Na Jamii zingine zina husisha zoezi Hili la Sensa na ujio wa Dini Mpya ya Iluminati(Freemason)

Hakika Jamii Mbalimbali ndani ya Nchi zinapaswa kuelimishwa Juu ya umuhimu wa Zoezi Hili Adhimu la Sensa kwa kina kwa kuanzia ngazi ya mtu mmoja mmoja, Familia,Ubalozi wa Nyumba kumikumi,Mtaa,kitongoji,Kijiji  ngazi ya kata,Wilaya Mkoa Hadi Taifa Juu ya umuhimu na Faida ya Zoezi la Sensa.

Zoezi la Sensa au kwa Lugha Rahisi Kuhesabiana,Zoezi linalo tarajiwa Kufanyika Agosti 23,2022 linazo Faida Kubwa Katika Jamii na Taifa kwa ujumla.

Zoezi la Sensa litasaidia Kujua idadi ya Wananchi Nchi nzima, kwa Umri wao na Jinsia.

Zoezi la Sensa litasaidia Kutayarisha mipango ya maendeleo,Kupitia Takwimu zitakazo patikana  zitatumika kuandaa Mipango na sera za Kimaendeleo,Zitakazo rahisisha kuainisha Misingi Katika kufanya Maamuzi Mbalimbali kwa idara za serikali na mashirika Binafsi Katika Maamuzi na uboreshaji wa huduma kulingana na idadi na mahitaji ya Makundi Mbali mbali yatakayo Kuwa yameainishwa na Takwimu za Sensa.

Sensa itasaidia kutoa picha halisi ya Hali ya Uchumi na kupima Hali ya Sasa ya Uchumi KWA ngazi ya mtu mmoja mmoja kaya,Mtaa,Kitongoji Kijiji kata na hata Wilaya kwa ujumla,kwa Kulinganisha Takwimu za Sasa na zile za miaka Iliyopita.

Sensa itasaidia Kuweka vipaumbele Katika Mgawanyo wa Rasilimali Katika maeneo Mbalimbali mathalani Kati ya maeneo ya mjini na vijijini kufuatana na Takwimu zitakazopatikana Katika zoezi la Sensa la Agosti 23 Mwaka huu.

Rai Yangu kwa Watanzania wenzangu,tuwape ushirikiano wataalamu watakaotutembelea Katika kaya zetu,Tujibu kwa usahihi Maswali yatakayo kuwa yameorodheshwa Katika Madodoso ya Sensa. Tusijiweke Mbali na zoez hili kwa iman Potofu zinazo jengwa na Baadhi ya Watu.

Hakika Yapo manufaa Mengi kupitia zoezi la Sensa,Wito na shime kwa Watanzania Wote kujiandaa kuhesabiwa,Sensa Ni maendeleo,Ewe Mtanzania jiandae kuhesabiwa ifikapo Agosti 23,2022

Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

GET TO KNOW WHAT IS INTERNENT

What is Internet The internet in simple terms is a network of the interlinked computer networking worldwide, which is accessible to the general public. These interconnected computers work by transmitting data through a special type of packet switching which is known as the IP or the internet protocol. Internet is such a huge network of several different interlinked networks relating to the business, government, academic, and even smaller domestic networks, therefore internet is known as the network of all the other networks. These networks enable the internet to be used for various important functions which include the several means of communications like the file transfer, the online chat and even the sharing of the documents and web sites on the WWW, or the World Wide Web. It is always mistaken said that the internet and the World Wide Web are both the same terms, or are synonymous. Actually there is a very significant difference between the t...

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...