Skip to main content

KUSAFIRISHA WANYAMA PORI RUKSA

 


Picha: kwa hisani ya MTANDAO wa Wiki Fandon



Na.Anthonius Kuzenza.

Serikali Kupitia Wizara ya Maliasili Na utalii  imetangaza Ruhusa ya Usafirishaji wa Wayamapori hai Kwenda nje Ya Nchi mapema Leo Juni4,2022 Ikiwa Ni baada ya katazo la Serikali la mwaka 2016.


Kwa Mujibu wa Taarifa ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori iliyotolewa mapema leo, Serikali  imetangaza  kuwa Ruhusa hiyo itadumu kwa Kipindi Cha miezi 6 na hiyo itaanza kutumika Rasmi mapema Juni 6,2022 Hadi Disemba 5,2022.


Taarifa hiyo imeeleza kuwa Wanyama wanaohusika ni wale waliokuwa wamesalia kwenye mazizi na mashamba Baada ya zuio la hapo awali 2016.


Aidha Serikali imewataka Wafanya Biashara Wenye Wanyamapori na walio hakikiwa, Ikiwa Ni pamoja na Wenye Leseni za Biashara ya Nyara zilizo huishwa kisheria Kuwasilisha Nyaraka Hizo Ofisi za Utalii na Huduma za Biashara za jijini Arusha na Dar-es-Salaam.


Pia taarifa hiyo imeainisha kuwa Usafirishaji wote wa Wanyamapori  utafanyika kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa  wa Julius  Nyerere (JNIA)na Uwanja wa ndege  wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) imehitimisha Taarifa.

Comments

Popular posts from this blog

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

TISS YAPATA BOSS MPYA.

  Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, Amemteua Bw.Said Hussein Masoro kuwa Mkurugenzi mkuu wa Idara ya Usalama wa taifa,Kuchukua nafasi ya Kamishina Diwani Athuman Msuya  Ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Kabla ya Uteuzi huo Bw.Masoro alikua akihudumu katika Idara ya Usalama wa Taifa kama Naibu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa shughuli za  ndani wa Usalama wa Taifa. Wakati huo huo Rais Dkt.Samia amemteua Balozi Hussein Othman Katanga Kuwa Balozi wa Tanzania mjini New York, Nchini Marekani na muwakilishi wa kudumu wa Umoja wa Mataifa. Balozi Katanga anachukia nafasi ya Balozi Profesa Kennedy Gaston,Ambaye Uteuzi wake umetenguliwa. Balozi Katanga kabla ya Uteuzi huu alikua Katibu Mkuu Kiongozi. Vile vile Mhe.Rais Dkt.Samia amemteua Bw.Moses Mpogole Kusiluka Kuwa Katibu Mkuu Kiongozi,Ambapo kabla ya Uteuzi huo alikua Katibu Mkuu Ikulu. Taarifa Rasimi Kutoka Kurugenzi ya mawasiliano ya Raisi Ikulu iliyotolewa mapema Jana Januari 3,2023, i...