Skip to main content

KUSAFIRISHA WANYAMA PORI RUKSA

 


Picha: kwa hisani ya MTANDAO wa Wiki Fandon



Na.Anthonius Kuzenza.

Serikali Kupitia Wizara ya Maliasili Na utalii  imetangaza Ruhusa ya Usafirishaji wa Wayamapori hai Kwenda nje Ya Nchi mapema Leo Juni4,2022 Ikiwa Ni baada ya katazo la Serikali la mwaka 2016.


Kwa Mujibu wa Taarifa ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori iliyotolewa mapema leo, Serikali  imetangaza  kuwa Ruhusa hiyo itadumu kwa Kipindi Cha miezi 6 na hiyo itaanza kutumika Rasmi mapema Juni 6,2022 Hadi Disemba 5,2022.


Taarifa hiyo imeeleza kuwa Wanyama wanaohusika ni wale waliokuwa wamesalia kwenye mazizi na mashamba Baada ya zuio la hapo awali 2016.


Aidha Serikali imewataka Wafanya Biashara Wenye Wanyamapori na walio hakikiwa, Ikiwa Ni pamoja na Wenye Leseni za Biashara ya Nyara zilizo huishwa kisheria Kuwasilisha Nyaraka Hizo Ofisi za Utalii na Huduma za Biashara za jijini Arusha na Dar-es-Salaam.


Pia taarifa hiyo imeainisha kuwa Usafirishaji wote wa Wanyamapori  utafanyika kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa  wa Julius  Nyerere (JNIA)na Uwanja wa ndege  wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) imehitimisha Taarifa.

Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

MOST CHALLENGES FACING MARKETING MANAGER

Everyone faces problems and challenges in their jobs. And a marketing managers job has gotten tougher with more and more introduction of different media vehicles and different costs of advertising present in the market. In general, a marketing manager of the 21st century faces the following challenges. Budget allocation is a challenge for marketing managers from day one -  Where do you use your budget? Do you use it for TVC’s, hoardings, radio, online or where else? There are so many media vehicles today, and so many variant frequencies of advertising, that media planning has become a big challenge for marketers. If you select the right message but a wrong media, then the message will probably be lost. Differentiation -  The second challenge is differentiation. A customer sometimes watches 6-7 ads in a single minute. If the ads are longer, he will still watch 2-3 ads in every minute of advertisements. So how do you differentiate yourself? What is the message that ne...