Skip to main content

AHUENI YA MAFUTA YAJA..*

 



Na.Anthonius Kuzenza- Kigoma

Mamlaka ya Udhibiti wa huduma za Nishati na maji (EWURA) imetangaza Bei za ukomo kwa bidhaa za mafuta ya petrol,dizeli na mafuta ya Taa,zinazo Anza kutumikia leo  Jumatano Juni 1,2022.


Kushuka kwa bei kumesababishwa na Ruzuku ya Tsh. Bilioni 100 iliyowekwa na serikali ya awamu ya sita Chini ya Mh. Raisi Samia Suluhu Hasan Ili Kukabiliana na mfumuko wa Bei ya Bidhaa za petrol na kuleta Ahueni kwa Wananchi.


Kufuatia Kutolewa KWA Ruzuku Kumepelekea  Bei ya mafuta ya Petrol kushuka kwa Tsh.306 kwa  Lita moja na Tsh.320 KWA kila Lita ya mafuta ya Dizeli, katika Bandari ya Dar-es-salaam.


Kwa Mkoa Wa Kigoma baada ya Serikali Kuweka  Ruzuku Bei  Petroli ina kuwa Kama ifuatavyo  Wilaya ya Kigoma mjini Tsh.3156  Uvinza Tsh.3147 ,Buhigwe 3154,Kakonko 3156, Kasulu 3165 na kibondo 3163.


Kwa upande Wa Dizeli Bei zitakazo tumika  Wilaya ya Kigoma mjini  Tsh. 3293,Uvinza Tsh.3283, Buhigwe 3291, Kakonko 3293, Kasulu 3302 na kibondo 3300.


Aidha Bei ya mafuta ya Taa Wilaya ya Kigoma mjini  Tsh. 3462,Uvinza Tsh.3452, Buhigwe 3459, Kakonko 3461, Kasulu 3471 na kibondo 3468.


Mamlaka imewataka Wauzaji wa Jumla wa bidhaa za petrol Nchini, kuuza bidhaa kwa Bei elekezi iliyo elekezwa na serikali,Ili kuepuka Hatua za kisheria zitakazo chukuliwa pindi wakikiuka maelekezo Hayo.

Comments

Popular posts from this blog

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

TISS YAPATA BOSS MPYA.

  Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, Amemteua Bw.Said Hussein Masoro kuwa Mkurugenzi mkuu wa Idara ya Usalama wa taifa,Kuchukua nafasi ya Kamishina Diwani Athuman Msuya  Ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Kabla ya Uteuzi huo Bw.Masoro alikua akihudumu katika Idara ya Usalama wa Taifa kama Naibu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa shughuli za  ndani wa Usalama wa Taifa. Wakati huo huo Rais Dkt.Samia amemteua Balozi Hussein Othman Katanga Kuwa Balozi wa Tanzania mjini New York, Nchini Marekani na muwakilishi wa kudumu wa Umoja wa Mataifa. Balozi Katanga anachukia nafasi ya Balozi Profesa Kennedy Gaston,Ambaye Uteuzi wake umetenguliwa. Balozi Katanga kabla ya Uteuzi huu alikua Katibu Mkuu Kiongozi. Vile vile Mhe.Rais Dkt.Samia amemteua Bw.Moses Mpogole Kusiluka Kuwa Katibu Mkuu Kiongozi,Ambapo kabla ya Uteuzi huo alikua Katibu Mkuu Ikulu. Taarifa Rasimi Kutoka Kurugenzi ya mawasiliano ya Raisi Ikulu iliyotolewa mapema Jana Januari 3,2023, i...