Skip to main content

AHUENI YA MAFUTA YAJA..*

 



Na.Anthonius Kuzenza- Kigoma

Mamlaka ya Udhibiti wa huduma za Nishati na maji (EWURA) imetangaza Bei za ukomo kwa bidhaa za mafuta ya petrol,dizeli na mafuta ya Taa,zinazo Anza kutumikia leo  Jumatano Juni 1,2022.


Kushuka kwa bei kumesababishwa na Ruzuku ya Tsh. Bilioni 100 iliyowekwa na serikali ya awamu ya sita Chini ya Mh. Raisi Samia Suluhu Hasan Ili Kukabiliana na mfumuko wa Bei ya Bidhaa za petrol na kuleta Ahueni kwa Wananchi.


Kufuatia Kutolewa KWA Ruzuku Kumepelekea  Bei ya mafuta ya Petrol kushuka kwa Tsh.306 kwa  Lita moja na Tsh.320 KWA kila Lita ya mafuta ya Dizeli, katika Bandari ya Dar-es-salaam.


Kwa Mkoa Wa Kigoma baada ya Serikali Kuweka  Ruzuku Bei  Petroli ina kuwa Kama ifuatavyo  Wilaya ya Kigoma mjini Tsh.3156  Uvinza Tsh.3147 ,Buhigwe 3154,Kakonko 3156, Kasulu 3165 na kibondo 3163.


Kwa upande Wa Dizeli Bei zitakazo tumika  Wilaya ya Kigoma mjini  Tsh. 3293,Uvinza Tsh.3283, Buhigwe 3291, Kakonko 3293, Kasulu 3302 na kibondo 3300.


Aidha Bei ya mafuta ya Taa Wilaya ya Kigoma mjini  Tsh. 3462,Uvinza Tsh.3452, Buhigwe 3459, Kakonko 3461, Kasulu 3471 na kibondo 3468.


Mamlaka imewataka Wauzaji wa Jumla wa bidhaa za petrol Nchini, kuuza bidhaa kwa Bei elekezi iliyo elekezwa na serikali,Ili kuepuka Hatua za kisheria zitakazo chukuliwa pindi wakikiuka maelekezo Hayo.

Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

MOST CHALLENGES FACING MARKETING MANAGER

Everyone faces problems and challenges in their jobs. And a marketing managers job has gotten tougher with more and more introduction of different media vehicles and different costs of advertising present in the market. In general, a marketing manager of the 21st century faces the following challenges. Budget allocation is a challenge for marketing managers from day one -  Where do you use your budget? Do you use it for TVC’s, hoardings, radio, online or where else? There are so many media vehicles today, and so many variant frequencies of advertising, that media planning has become a big challenge for marketers. If you select the right message but a wrong media, then the message will probably be lost. Differentiation -  The second challenge is differentiation. A customer sometimes watches 6-7 ads in a single minute. If the ads are longer, he will still watch 2-3 ads in every minute of advertisements. So how do you differentiate yourself? What is the message that ne...