Skip to main content

MJUE SGT RAYMOND:MBUNIFU WA MASHINE YA KUBANGUA CHIKICHI(MISE).

 

Mkuu wa Magereza Mkoa wa Kigoma SACP Chacha Bina(wa pili julia) akiwa na Wakuu wa Magereza yaliyopo Mkoa wa Kigoma  Wakimsikiliza Sgt Raymond ( mwenye koti la bluu)mgunduzi wa Mashine ya kubangua chikichi (Mise). PICHA na Ofisi ya mkuu wa Magereza Mkoa Kigoma.

 






NA. Anthonius Kuzenza


Katika Hali ya kutia Moyo na kuhamasisha ubunifu ndani ya Jeshi la Magereza Askari no B.3527 Sgt Reymond  Wilson  wa Gereza Bangwe Mkoani kigoma, Amebuni Mashine ya kubangua Mbegu za chikichi(Mise)


Akizungumza Mbele ya Mkuu Wa Magereza Mkoa Wa Kigoma SACP Chacha Bina, Sgt Raymond anasema Amebuni Mashine hiyo Kwa kuunganisha Injini ya pikipiki Kama chanzo Cha Nguvu ya kuendesha Mashine hiyo kwa kuiboresha Injini hiyo na kuongeza ubunifu wake binafsi.


Sgt Raymond anaeleza Kuwa Alipata wazo Hilo baada ya kufanya utafiti na Kugundua Kuwa maeneo Mengi ya mkoa Wa Kigoma Ambako wakulima Wa zao la chikichi wapo hakuna nishati ya uhakika ya umeme, Hivyo kwa akabuni Mashine hii ikiwa Ni mbadala wa Mashine zinazo endeshwa kwa nishati ya umeme itakayo wawezesha wakulima Kubangua Mise Yao kwa Urahisi.


Kwa Upande Mwingine Mkuu wa Wa Magereza Mkoa Wa Kigoma SACP Chacha Bina Amempongeza Sgt .Raymond kwa ubunifu huo Kwani Ni Jambo linalotia Moyo, Na Jambo Hilo nilakuigwa  na kila Askari ili kuleta tija ndani ya Jeshi.Pia Amewataka Askari wote kuwa Wabunifu Mahali pao pa KAZI Ili kuleta tija ndani ya Jeshi kwa kuzingatia taaluma Mbali mbali walizo somea.



Akielezea Malengo ya yake Sgt Raymond anasema anatazamia hivi karibuni kuanza Kubuni na kuunda Mashine i mbalimbali Kama Mashine ya kukamua Mafuta ya chikichi (Mise),   kusambaza mbolea mashambani, kupukuchua mahindi , kuchakata chakula Cha mifugo na hii Yote itawezekana ikiwa atawezeshwa.


Aidha ameongeza Kuwa zipo changamoto kadhaa zinazo mkabili  wakati akitekeleza ubunifu huo,Kuwa Ni Pamoja na Upatikanaji Wa Vifaa kwani Vifaa anavyo tumia Ni duni, Pamoja na Rasirimali Fedha. Hivyo ametoa wito  wa kuwezeshwa kukabiliana na changamoto Hizo ili aweze kubuni Mashine mzuri na Zenye ufanisi.


Sgt Raymond Wilson,Amesoma Uhandisi wa Mitambo(Mechanical Engineering),ngazi ya Stashahada(Diploma) Katika chuo Cha ufundi Arusha (Arusha Tech).

Comments

Popular posts from this blog

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...

GET TO KNOW 3 C CONCEPT OF MARKETING

The 3 C concept of marketing strategy is a very interesting concept for marketers as it explains complete marketing strategy on the basis of 3 variables. These 3 variables are dynamic and inter dependent on each other. If one changes, the other has to change. The 3 C of marketing strategy are 1) Customer 2) Company 3) Competitor This concept of marketing strategy talks about the dynamic relation which exists in these three variables. Let us explain such relations with an example. Customer + Company = Low competition. When a customer has a high regard for a company, the competitor seldom finds a chance to penetrate. For example – niche products with high brand equity. The above equation can also be reversed. Customer + Competitor = Low penetration for our company. Customer = Competitor or Company The above equation can be observed when there is not much competition and also when the difference between the company and the competition is less. In this ca...