Skip to main content

MJUE SGT RAYMOND:MBUNIFU WA MASHINE YA KUBANGUA CHIKICHI(MISE).

 

Mkuu wa Magereza Mkoa wa Kigoma SACP Chacha Bina(wa pili julia) akiwa na Wakuu wa Magereza yaliyopo Mkoa wa Kigoma  Wakimsikiliza Sgt Raymond ( mwenye koti la bluu)mgunduzi wa Mashine ya kubangua chikichi (Mise). PICHA na Ofisi ya mkuu wa Magereza Mkoa Kigoma.

 






NA. Anthonius Kuzenza


Katika Hali ya kutia Moyo na kuhamasisha ubunifu ndani ya Jeshi la Magereza Askari no B.3527 Sgt Reymond  Wilson  wa Gereza Bangwe Mkoani kigoma, Amebuni Mashine ya kubangua Mbegu za chikichi(Mise)


Akizungumza Mbele ya Mkuu Wa Magereza Mkoa Wa Kigoma SACP Chacha Bina, Sgt Raymond anasema Amebuni Mashine hiyo Kwa kuunganisha Injini ya pikipiki Kama chanzo Cha Nguvu ya kuendesha Mashine hiyo kwa kuiboresha Injini hiyo na kuongeza ubunifu wake binafsi.


Sgt Raymond anaeleza Kuwa Alipata wazo Hilo baada ya kufanya utafiti na Kugundua Kuwa maeneo Mengi ya mkoa Wa Kigoma Ambako wakulima Wa zao la chikichi wapo hakuna nishati ya uhakika ya umeme, Hivyo kwa akabuni Mashine hii ikiwa Ni mbadala wa Mashine zinazo endeshwa kwa nishati ya umeme itakayo wawezesha wakulima Kubangua Mise Yao kwa Urahisi.


Kwa Upande Mwingine Mkuu wa Wa Magereza Mkoa Wa Kigoma SACP Chacha Bina Amempongeza Sgt .Raymond kwa ubunifu huo Kwani Ni Jambo linalotia Moyo, Na Jambo Hilo nilakuigwa  na kila Askari ili kuleta tija ndani ya Jeshi.Pia Amewataka Askari wote kuwa Wabunifu Mahali pao pa KAZI Ili kuleta tija ndani ya Jeshi kwa kuzingatia taaluma Mbali mbali walizo somea.



Akielezea Malengo ya yake Sgt Raymond anasema anatazamia hivi karibuni kuanza Kubuni na kuunda Mashine i mbalimbali Kama Mashine ya kukamua Mafuta ya chikichi (Mise),   kusambaza mbolea mashambani, kupukuchua mahindi , kuchakata chakula Cha mifugo na hii Yote itawezekana ikiwa atawezeshwa.


Aidha ameongeza Kuwa zipo changamoto kadhaa zinazo mkabili  wakati akitekeleza ubunifu huo,Kuwa Ni Pamoja na Upatikanaji Wa Vifaa kwani Vifaa anavyo tumia Ni duni, Pamoja na Rasirimali Fedha. Hivyo ametoa wito  wa kuwezeshwa kukabiliana na changamoto Hizo ili aweze kubuni Mashine mzuri na Zenye ufanisi.


Sgt Raymond Wilson,Amesoma Uhandisi wa Mitambo(Mechanical Engineering),ngazi ya Stashahada(Diploma) Katika chuo Cha ufundi Arusha (Arusha Tech).

Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

GET TO KNOW WHAT IS INTERNENT

What is Internet The internet in simple terms is a network of the interlinked computer networking worldwide, which is accessible to the general public. These interconnected computers work by transmitting data through a special type of packet switching which is known as the IP or the internet protocol. Internet is such a huge network of several different interlinked networks relating to the business, government, academic, and even smaller domestic networks, therefore internet is known as the network of all the other networks. These networks enable the internet to be used for various important functions which include the several means of communications like the file transfer, the online chat and even the sharing of the documents and web sites on the WWW, or the World Wide Web. It is always mistaken said that the internet and the World Wide Web are both the same terms, or are synonymous. Actually there is a very significant difference between the t...