Skip to main content

SADAKA YA MIILI YETU TUNAITOA KIKAMILIFU❓

 

SHALOM WAPENDWA


Leo nataka tujifumze Juu ya SADAKA hii ya Miili yetu,Maana Tumejifunza Juu ya matoleo mbalimbali Kama Fungu la kumi, SADAKA ya Shukrani,Kusaidia wasiojiweza Ndani ya KANISA Lakini ni Nadra Sana kufundishwa SADAKA ya Mwili wa Mwamini....


Meno La Tafakari Ni    *WARUMI 12:1* 


 *1 Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana.* 


Hivi Mimi na wewe TUNAITOA KIKAMILIFU Ili TUWEZE kumfanyia Mungu Ibada Yenye Maana?


Natukumbuke SADAKA zote Ili zitimize Ibada Yenye Maana huenda pamoja,Tunatoa labda Fungu la Kumi/zaka KWA uaminifu Sawa Lakini Miili yetu nayo tumeitoa kikamilifu❓❓


VIP hapo tuna Ibada Yenye Maana❓Au tumepoteza Muda Wetu Na SADAKA imekataliwa...🤔🤔


Kristo msingi was Imani yetu yeye akitufundisha KWA kuutoa Mwili wake usulubiwe na ikawa SADAKA /Dhabihu Yenye kupendeza Ambayo hakuna Mwanadamu Mwingine Awaye Yeyote ameitoa SADAKA ya Namna hiyo.


Ndipo Mtume Paulo Naye anatukumbusha Kuwa ...... Tuvifishe viumgo vyetu vilivyo Katika nchi Ili tufanye Ibada ya maana

 *Kolosai 3:5* *Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;* 


Sasa He Miili yetu  Ni SADAKA kamili?? au nayo Imekua Ni wizi Kama tunavyo iba Zaka?? Miili yetu tunaifujaaa kwenye mapombe,Zinaa uasherati,UONGO wizi  Rushwa masengeng'enyo Harafu tuna beba na Zaka pungufu Tunasongeza madhabahuni pa BWANA GHADHABU ya Mungu Inayo Kuja tungeiona Kheri Tughaili Mabaya Haya Tutubu Na Tutengeneze Upya Tuiepuke.


Eeeh Mungu Ingilia Kati Juu ya Hili 😭😭😭😭😭 *Nawatakia Tafakari njema*

Comments

Popular posts from this blog

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

TISS YAPATA BOSS MPYA.

  Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, Amemteua Bw.Said Hussein Masoro kuwa Mkurugenzi mkuu wa Idara ya Usalama wa taifa,Kuchukua nafasi ya Kamishina Diwani Athuman Msuya  Ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Kabla ya Uteuzi huo Bw.Masoro alikua akihudumu katika Idara ya Usalama wa Taifa kama Naibu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa shughuli za  ndani wa Usalama wa Taifa. Wakati huo huo Rais Dkt.Samia amemteua Balozi Hussein Othman Katanga Kuwa Balozi wa Tanzania mjini New York, Nchini Marekani na muwakilishi wa kudumu wa Umoja wa Mataifa. Balozi Katanga anachukia nafasi ya Balozi Profesa Kennedy Gaston,Ambaye Uteuzi wake umetenguliwa. Balozi Katanga kabla ya Uteuzi huu alikua Katibu Mkuu Kiongozi. Vile vile Mhe.Rais Dkt.Samia amemteua Bw.Moses Mpogole Kusiluka Kuwa Katibu Mkuu Kiongozi,Ambapo kabla ya Uteuzi huo alikua Katibu Mkuu Ikulu. Taarifa Rasimi Kutoka Kurugenzi ya mawasiliano ya Raisi Ikulu iliyotolewa mapema Jana Januari 3,2023, i...