Skip to main content

HUYU NDIYE ALIYEVISHWA TAJI LA MISS INTER UNIVERSITY MWANZA

Kwa mara ya kwanza katika jiji la mwanza yale mashindano ya michezo mbalimbali yanayohusisha vyuo vikuu nchini Tanzania yakihusisha michezo ya mpira wa miguu,(football), Mpira wa wavu(volleyball) Riadha pamoja na Urimbwende yamefanyika katika jiji la mwanza.

Mashindano hayo yaliyovuta hisia za wakazi wa jiji la mwanza yalihudhuliwa na mamia ya wakazi wa jiji hili ili kupata kujionea vipaji katika michezo mbalimbali iliyo husisha vyuo vyote vya jiji la mwanza vikiwemo,SAUT Bugando,CBE,Chuo cha Mipango,na vingine vingi vyote vya jijini mwanza.

Mashindano haya yaliandaliwa na kampuni ya kampuni ya Tanzania Eleveted Greean company limited ikishirikiana na Nyanza Communication Cosultancy Limited  ya jijini mwanza chini ya udhamini wa SBS Tanzania kama mdhamini mkuu na  Clouds Media Group.wadhamini wengine walikuwa ni Mama Raja Decorations, Millenium Park Hotel, Clara Saloon pamoja na Flora saloon zote za jijini Mwanza

Katika utangulizi wa mashindano hayo michezo ya mpira wa miguu,riadha,mpira wa wavu vilifanyika katika uwanja wa CCM kirumba mwanza,na kufuatiwa na mashindano ya ulimbwende yaliyomalizikia pale katika ukumbi wa Villa Park Resort kwaajiri ya kumpata mrembo wa vyuo vikuu kanda ya mwanza na washindi kutangazwa siku hiyohiyo ya tarehe 7/6/2013.

Washindi katika mchezo wa football walikuwa ni BASO SAUT,katika volyball mshindi alikua ni SAUT East,katika riadha mshindi wa kwanza alitoka SAUT pia akijulikana kwa jina la Axweso Yeremia na katiaka ulimbwende SAUT tena ilivibwaga chini vyuo vingine kwa mshiriki Reginamary Ngurendo kuibuka na ushindi  akifuatiwa na Stela Charles kutoka  Chuo cha Mipango Mwanza.




Miss Inter university Regnamary akiielezea furaha yake  baada ya kutwaa taji hilo.


Washiriki katika moja ya maonesho ya kuonesha vipaji katika kuusakata muziki


Happy na pendo kama majaji wakiwa kazini.


Mapozi ya twiga yakahusika pale kati


Naomba mic niseme chochote......



Kiafrica tumependeza hatujapendeza???



Vazi la beach hapo sasa......


Umeniona na mikato yangu
Hapo vip....?



Baadhi ya waandaaji wa shindano hilo kutoka Nyanza Communication Consultancy Limited wakiwa na mmoja wa wawakilishi kutoka SBS Tanzania katika picha ya pamoja katika red carpet.
























BAADHI YA TIMU  SHIRIKI KUTOKA VYUO MBALIMBALI VILIVYOPO KATIKA JIJI LA MWANZA


MASHABIKI  WAKIFANYA YAO.


Timu kutoka mipango




kiduku kikahusika kinomanoma pale kirumba




Mshindi wa mbio za kilometa 10  bwana Axweso Yeremia kutoka SAUT mwanza.








timu kutoka CBE

Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

GET TO KNOW WHAT IS INTERNENT

What is Internet The internet in simple terms is a network of the interlinked computer networking worldwide, which is accessible to the general public. These interconnected computers work by transmitting data through a special type of packet switching which is known as the IP or the internet protocol. Internet is such a huge network of several different interlinked networks relating to the business, government, academic, and even smaller domestic networks, therefore internet is known as the network of all the other networks. These networks enable the internet to be used for various important functions which include the several means of communications like the file transfer, the online chat and even the sharing of the documents and web sites on the WWW, or the World Wide Web. It is always mistaken said that the internet and the World Wide Web are both the same terms, or are synonymous. Actually there is a very significant difference between the t...