Skip to main content

HUYU NDIYE ALIYEVISHWA TAJI LA MISS INTER UNIVERSITY MWANZA

Kwa mara ya kwanza katika jiji la mwanza yale mashindano ya michezo mbalimbali yanayohusisha vyuo vikuu nchini Tanzania yakihusisha michezo ya mpira wa miguu,(football), Mpira wa wavu(volleyball) Riadha pamoja na Urimbwende yamefanyika katika jiji la mwanza.

Mashindano hayo yaliyovuta hisia za wakazi wa jiji la mwanza yalihudhuliwa na mamia ya wakazi wa jiji hili ili kupata kujionea vipaji katika michezo mbalimbali iliyo husisha vyuo vyote vya jiji la mwanza vikiwemo,SAUT Bugando,CBE,Chuo cha Mipango,na vingine vingi vyote vya jijini mwanza.

Mashindano haya yaliandaliwa na kampuni ya kampuni ya Tanzania Eleveted Greean company limited ikishirikiana na Nyanza Communication Cosultancy Limited  ya jijini mwanza chini ya udhamini wa SBS Tanzania kama mdhamini mkuu na  Clouds Media Group.wadhamini wengine walikuwa ni Mama Raja Decorations, Millenium Park Hotel, Clara Saloon pamoja na Flora saloon zote za jijini Mwanza

Katika utangulizi wa mashindano hayo michezo ya mpira wa miguu,riadha,mpira wa wavu vilifanyika katika uwanja wa CCM kirumba mwanza,na kufuatiwa na mashindano ya ulimbwende yaliyomalizikia pale katika ukumbi wa Villa Park Resort kwaajiri ya kumpata mrembo wa vyuo vikuu kanda ya mwanza na washindi kutangazwa siku hiyohiyo ya tarehe 7/6/2013.

Washindi katika mchezo wa football walikuwa ni BASO SAUT,katika volyball mshindi alikua ni SAUT East,katika riadha mshindi wa kwanza alitoka SAUT pia akijulikana kwa jina la Axweso Yeremia na katiaka ulimbwende SAUT tena ilivibwaga chini vyuo vingine kwa mshiriki Reginamary Ngurendo kuibuka na ushindi  akifuatiwa na Stela Charles kutoka  Chuo cha Mipango Mwanza.




Miss Inter university Regnamary akiielezea furaha yake  baada ya kutwaa taji hilo.


Washiriki katika moja ya maonesho ya kuonesha vipaji katika kuusakata muziki


Happy na pendo kama majaji wakiwa kazini.


Mapozi ya twiga yakahusika pale kati


Naomba mic niseme chochote......



Kiafrica tumependeza hatujapendeza???



Vazi la beach hapo sasa......


Umeniona na mikato yangu
Hapo vip....?



Baadhi ya waandaaji wa shindano hilo kutoka Nyanza Communication Consultancy Limited wakiwa na mmoja wa wawakilishi kutoka SBS Tanzania katika picha ya pamoja katika red carpet.
























BAADHI YA TIMU  SHIRIKI KUTOKA VYUO MBALIMBALI VILIVYOPO KATIKA JIJI LA MWANZA


MASHABIKI  WAKIFANYA YAO.


Timu kutoka mipango




kiduku kikahusika kinomanoma pale kirumba




Mshindi wa mbio za kilometa 10  bwana Axweso Yeremia kutoka SAUT mwanza.








timu kutoka CBE

Comments

Popular posts from this blog

TISS YAPATA BOSS MPYA.

  Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, Amemteua Bw.Said Hussein Masoro kuwa Mkurugenzi mkuu wa Idara ya Usalama wa taifa,Kuchukua nafasi ya Kamishina Diwani Athuman Msuya  Ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Kabla ya Uteuzi huo Bw.Masoro alikua akihudumu katika Idara ya Usalama wa Taifa kama Naibu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa shughuli za  ndani wa Usalama wa Taifa. Wakati huo huo Rais Dkt.Samia amemteua Balozi Hussein Othman Katanga Kuwa Balozi wa Tanzania mjini New York, Nchini Marekani na muwakilishi wa kudumu wa Umoja wa Mataifa. Balozi Katanga anachukia nafasi ya Balozi Profesa Kennedy Gaston,Ambaye Uteuzi wake umetenguliwa. Balozi Katanga kabla ya Uteuzi huu alikua Katibu Mkuu Kiongozi. Vile vile Mhe.Rais Dkt.Samia amemteua Bw.Moses Mpogole Kusiluka Kuwa Katibu Mkuu Kiongozi,Ambapo kabla ya Uteuzi huo alikua Katibu Mkuu Ikulu. Taarifa Rasimi Kutoka Kurugenzi ya mawasiliano ya Raisi Ikulu iliyotolewa mapema Jana Januari 3,2023, i...

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...