Skip to main content

SSPRA YAPATA VIONGOZI WAPYA

Chama cha wanafunzi wanaosoma  mahusiano ya umma na masoko katika chuo cha mtakatifu Augustino chini ya chama chao Saut Students Public relations Association (SSPRA) wamefanya uchaguzi wakuwapata viongozi  katika nyadhifa mbalimbali ili kuwaongoza kwa kipindi cha mwaka 2013-2014.
Katika kinyanganyiro hicho nafasi zilizo kuwa zikigombewa zilikua ni pamoja na Mwenyekiti wa chama,Makamu mwenyekiti, Katibu mkuu,Makamu katibu mkuu,mtunzanza hazina,mtunza hazina msaidizi,Afisa mahusiano wa chama,na Makamu Afisa mahusiano msaidizi.

Katika kinyanganyiro hicho majina yafuatayo waliibuka washindi baada ya kupigiwa kura na wanachama wa SSPRA. Nafasi yaMwenyekiti ilitwaliwa na, Sing'ambi Athanas, Mwenyekiti Msaidizi Mapura Ndege, Katibu Mkuu, Mbwaga Aman E. Katibu Msaidizi, Ephraim  Rodrich. Afisa mahusiano Mkuu wa chama Athanas Mathias,  Afisa mahusiano Msaidizi, Jesse Edwin, Mhazini Mkuu, Zawad  Kyando,  Mhazin Msaidizi  Wilson Bahath.


baaadhi ya viongozi wateule wa SSPRA,kutoka kushoto ni Athanasi Sin'ngambi mwenyekiti,mwenyekiti,Jesse Afisa mahusiano msaidizi,Kyando Zawdi mtunza hazina mkuu,Athanasi Masota Mathiasi afisa mahusiano mkuu wa chama, Amani Mbwaga katibu mkuu, na mwenyekiti msaidizi Bwana Mapura ndege


Picha ya pamoja ya baadhi ya viongozi wateule wa chama.


Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi bwana Oddilo John.


Jopo zima la viongozi wateule wa SSPRA




Baadhi ya wajumbe wa kamati ya uchaguzi wakifuatilia kwa ukalibu mchakato mzima!kulia ni  bwana David Lymo na kushoto ni ndugu Evodia Ngyabuso.


Mmoja wa wagombea akimwaga sera zake mbele ya wanachama wa SSPRA.


Maswali nayo hayakukosekana kwa wagombea


Lugha za ihara kusisitiza zikachukua mkondo


Lodriche katibu mkuu msaidiziakiwasikiliza wanachama kwa makini


Athanasi Masota afisa mahusiano mkuu akieleza sera na mikakati yake juu ya chama


Athanasi Singambi mwenyekiti mteule akisisitiza jambo


Mgombea akitoa maelezo na kujieleza mbele ya wanachama



Mtunza hazina msaidizi ndugu Bahati Wilison aliibuka kidedea baada ya kupita bila kupingwa

Mwenyekiti kamati ya maadili na weledi Ndg.Anthonius Clement akifuatilia mchakato mzima wa uchaguzi.

Mlezi msaidizi na musisi  wa chama (SSPRA) ndugu Katabi akawasalimu wanachama

Bwana Emily marcus akimwaga sera zake hata hivyo hakufua dafu kwa mshindani wake Ndugu Athanas Masotha Mathiasi

Ndugu Albert Tibaijuka mlezi na mshauri mkuu wa chama pia aliweza kuhudhulia uchaguzi huu.

Hapa akiwaasa wanachama kujitoa kwaajiri ya chama na si kwa masilahi Binafsi.

Mshikamano na umoja ukasisitizwa miongoni mwa wanachama wa SSPRA

Pongezi zikatolewa kwa washindi wa nyadhifa mbalimbali.Amani mbwaga akipongezwa na Ndugu Katabi(kushoto) pamoja na Damali Machaku (kulia)

Mheshimiwa  Raisi Wa jumuiya ya wanafunzi SAUTISO Mh.Dovya alihudhuria na hapa akiwasalimu wanachama wa SSPRA.

Mwenyekiti wa Maadili na weledi Ndugu Anthonius akiwapongeza washindi wa nafasi ya uwenyekiti na makamu mwenyekiti.(katikati menyekiti Ngugu Athanasi Singambi)na kulia Ndugu Mapura Ndege.



Jesse Edwini Afisa mahusiano msaidizi SSPRA

Comments

Popular posts from this blog

MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE.

 “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI” (2) Siku ya Pili 28, Aprili 2022  Semina ya Neno la Mungu - Dodoma LINK YA SOMO LA HILI YOUTUBE 👉🏼 https://youtu.be/Rwo70MEHQd0    NAMBA ZA KUTUMA SADAKA, MAOMBI NA SHUHUDA 👉🏼https://bit.ly/Sadaka-Maombi-Shuhuda  UTANGULIZI LENGO YA SOMO ➖Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata majira haya nyakati hizi. Wasomaji wa Biblia, historia ya ulimwengu na kanisa wanajua kabisa kipindi chochote kinachotangulia matatizo, kinachofuata ni maombi na baadaye unafuata uamsho. Kama kuna tatizo limepita katika taifa, ujue kuwa kuna watu watainuka kuomba kwa ajili ya lile taifa, na matokeo yake ni uamsho katika lile taifa. Hili lipo katika kanisa, familia na mahali pengine popote. Msisitizo wa somo hili ni ujue namna ya kufanya wakati Mungu anaachilia uamsho huu katika nyakati hizi, maneno pingamizi yasiwe kikwazo kwako. Pia ujue kitu cha kufanya katika kupokea uamsho huu. Uamsho unaanza na mtu bin...

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...