Skip to main content

WANAO SEMA MIMI FREEMASON WAMESHINDWA TUU! JIGGER

Jay-Z
Kumekuwa na rumors kwa Jay-Z kuwa katika muunganiko na jamii ya kishetani ikifahamika kama FREEMASON ikiwa inaongelewa sana kwa miaka ya hivi karibuni. Huku ikionekana ikiwa imetulia kwa sasa, lakini bado majadiliano yanaendelea.
Akifanya interview na Jarida la Delta Airlines SKY MAGAZINE, Hip-Hop star Jay-Z aliulizwa kuhusu ushiriki wake huo, na kujibu kuwa ni kwamba wale wanosema hivyo ni kwamba hawapendi maendeleo yake na inakuwa hivyo zaidi hasa wanapoona wao wamefeli.
 
Jay-Z, "It may sound a little arrogant, but I just think people can't handle when somebody else is successful," Jay said in the mag's feature. "Something has gotta be wrong; you gotta be down with some higher power. And I guess when someone else is successful, it makes you feel like maybe you're a failure. So it can't be you, it has to be some other force."
Mara ya mwisho Jay-Z kuliongelea hili ilikuwa ni mwaka jana ikiwa ni kwenye wimbo wa rapper Rick Ross "Free Mason," ambapo alikataa kuwemo kwenye jamii hiyo inyofanya mambo yake kwa vificho.
Jay-Z alirap "I said I was amazing, not that I'm a Mason / It's amazing that I made it through the maze that I was in / Lord forgive me, I never woulda made it without sin / Holy water, my face in the basin / Diamonds in my rosary shows he forgave him / Bitch I'm red hot, I'm on my third six, but a devil I'm not,"
Jay amekuwa ni mmoja wa rappers nchini Marekani wanaohusishwa na MASON kwa muda mrefu sasa, wengine ni Kanye West na 50 Cent.

Comments

Popular posts from this blog

GET TO KNOW EXTENDED MARKERTING MIX

The extended marketing mix is, as the name suggests, an extension of the marketing mix which was traditionally for products. The 4P’s are also known as product marketing mix. As services came more into the picture it was seen that the 4p’s could not justify the marketing mix. There were 3 more elements which were necessary to actually explain the marketing of services. When products began offering services, the extended marketing mix began applying to products as well (like Maruti service stations where Maruti is a product and the service station is a service). These are the elements which were added to the marketing mix to form the extended marketing mix. In the above figure, the product marketing mix are the first four P’s and the next 3 P’s are added to make the Extended Marketing mix. This extended marketing mix is also known as the service marketing mix. The four PS mainly constituted the following 4 elements Product Price Place Prom...

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

TISS YAPATA BOSS MPYA.

  Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, Amemteua Bw.Said Hussein Masoro kuwa Mkurugenzi mkuu wa Idara ya Usalama wa taifa,Kuchukua nafasi ya Kamishina Diwani Athuman Msuya  Ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Kabla ya Uteuzi huo Bw.Masoro alikua akihudumu katika Idara ya Usalama wa Taifa kama Naibu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa shughuli za  ndani wa Usalama wa Taifa. Wakati huo huo Rais Dkt.Samia amemteua Balozi Hussein Othman Katanga Kuwa Balozi wa Tanzania mjini New York, Nchini Marekani na muwakilishi wa kudumu wa Umoja wa Mataifa. Balozi Katanga anachukia nafasi ya Balozi Profesa Kennedy Gaston,Ambaye Uteuzi wake umetenguliwa. Balozi Katanga kabla ya Uteuzi huu alikua Katibu Mkuu Kiongozi. Vile vile Mhe.Rais Dkt.Samia amemteua Bw.Moses Mpogole Kusiluka Kuwa Katibu Mkuu Kiongozi,Ambapo kabla ya Uteuzi huo alikua Katibu Mkuu Ikulu. Taarifa Rasimi Kutoka Kurugenzi ya mawasiliano ya Raisi Ikulu iliyotolewa mapema Jana Januari 3,2023, i...