Skip to main content

WANANCHI WAASWA KUFANYA MAZOEZI KUIMARISHA AFYA.

Mkuu wa Wilaya Kakonko Kanali Evance Mesha Mallasa, amewaasa  wananchi Wilayani humo kujenga tabia ya kufanya Mazoezi na kushiriki Michezo mbalimbali Ili kuimarisha afya na kuepuka magonjwa mbali mbali.



Kanali Mallasa ametoka wito huo,wakati wa kikao Cha sherehe za kukaribisha mbio za Mwenge kilichofanyika tarehe 18,Julai,2023 katika ukumbi wa Halmashauri Wilaya Kakonko.


"Niwaombe Kila mkuu wa Idara  Taasisi hata Mwananchi mmojammoja  Kwa pamoja,kujitokeza kushiriki Mazoezi Ili kuimarisha afya na kuepukana na Magonjwa mbalimbali ambayo tiba yake inaweza Kuwa ni Mazoezi tu"ameeleza Kanali Mallasa



Kwa upande mwingine Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kakonko,Bw.Ndaki Stefano Mhuli,Amesema uongozi wa Halmashauri unatambua umuhimu wa Mazoezi na michezo kwa ujumla,hivyo umetenga siku ya Jumamosi kama siku maalum kwaajiri ya Watumishi wa Halmashauri kushiriki Mazoezi na Michezo,Ili kuimarisha afya zao.



"Mhe.mkuu wa Wilaya niseme tu Jambo hili tunalichumilia kwa uzito,Ili kuimarisha Afya, ...Mazoezi ni lazima kwa kila mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya Kakonko,Michezo ni Afya na ni undugu pia" amesema Bwa.Ndaki.


Mwenge wa Uhuru unatarajia kuingia Mkoani Kigoma Tarehe 16,Agosti 2023, ambapo utapokelewa Wilayani Kakonko na kizindua miradi Mbalimbali ya maendeleo Wilayani humo.

Comments

Popular posts from this blog

7 BUSINESS LOCATION THAT INCREASE BRAND VISIBILITY

Marketing has changed and it has become more personal. People nowadays need convenience and you cannot expect that your customer will come to you. You will have to go to your customer again and again so that he does not switch to any other brand. Remember that your customer has numerous options in his hand. Thus your business needs to present in locations where the customer can make his buying decision easily. This is where your business location plays an important role. The process of managing a business is continually changing but more importantly with the advent of online marketing, your business location itself has changed. Because of the increasing usage of internet, Smart phones too are the latest trend and hence the reach of internet is now quadrupled. But it is not necessary that your customer be present only on the internet. Brick businesses are as alive today as online businesses. Below you will find a list of 7 business locations that you should be ...

GET TO KNOW WHAT IS INTERNENT

What is Internet The internet in simple terms is a network of the interlinked computer networking worldwide, which is accessible to the general public. These interconnected computers work by transmitting data through a special type of packet switching which is known as the IP or the internet protocol. Internet is such a huge network of several different interlinked networks relating to the business, government, academic, and even smaller domestic networks, therefore internet is known as the network of all the other networks. These networks enable the internet to be used for various important functions which include the several means of communications like the file transfer, the online chat and even the sharing of the documents and web sites on the WWW, or the World Wide Web. It is always mistaken said that the internet and the World Wide Web are both the same terms, or are synonymous. Actually there is a very significant difference between the t...

1️⃣SEMINA YA NENO LA MUNGU UWANJA WA WAJENZI-DODOMA : NA MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE

1️⃣SEMINA YA NENO LA MUNGU UWANJA WA WAJENZI-DODOMA : NA MWL. CHRISTOPHER  MWAKASEGE SIKU YA KWANZA: 27 APRILI, 2022 SOMO: “MANENO PINGAMIZI YASIKWAMISHE UAMSHO WAKO BINAFSI”  UTANGULIZI LENGO YA SOMO Uamsho kutoka kwa Mungu uliokusudiwa kwa ajili yako uweze kuupata. Na msisitizo hapa haupo kwenye maneno bali upo kwenye uamsho. Na kati ya kitu kimojawapo tutakachoshughulika nacho kwenye somo hili ni maneno pingamizi ambayo yanatafuta kila namna ya kukukwamisha ili usipokee kile Mungu alichokikusudia kwako na usifike pale Mungu alipokusudia ufike.   Na kwa leo nataka tujifunze na kuangalia juu ya UMUHIMU WA UHUSIANO WA UAMSHO WAKO WA LEO NA MAFANIKIO YAKO YA KESHO   Soma Matendo ya Mitume 12:1-17 Maandiko yanasema kwenye mstari wa 7 kusema “Mara malaika wa Bwana akasimama karibu naye, nuru ikamulika mle chumbani, akampiga Petro ubavuni, akamwamsha, akisema, Ondoka upesi. Minyororo yake ikamwanguka mikononi.” Malaika alimwamsha Petro ili apate uamsho wake binafsi akiwa...