Skip to main content

Posts

Showing posts from June, 2013

HUYU NDIYE ALIYEVISHWA TAJI LA MISS INTER UNIVERSITY MWANZA

Kwa mara ya kwanza katika jiji la mwanza yale mashindano ya michezo mbalimbali yanayohusisha vyuo vikuu nchini Tanzania yakihusisha michezo ya mpira wa miguu,(football), Mpira wa wavu(volleyball) Riadha pamoja na Urimbwende yamefanyika katika jiji la mwanza. Mashindano hayo yaliyovuta hisia za wakazi wa jiji la mwanza yalihudhuliwa na mamia ya wakazi wa jiji hili ili kupata kujionea vipaji katika michezo mbalimbali iliyo husisha vyuo vyote vya jiji la mwanza vikiwemo,SAUT Bugando,CBE,Chuo cha Mipango,na vingine vingi vyote vya jijini mwanza. Mashindano haya yaliandaliwa na kampuni ya kampuni ya Tanzania Eleveted Greean company limited ikishirikiana na Nyanza Communication Cosultancy Limited  ya jijini mwanza chini ya udhamini wa SBS Tanzania kama mdhamini mkuu na  Clouds Media Group.wadhamini wengine walikuwa ni Mama Raja Decorations, Millenium Park Hotel, Clara Saloon pamoja na Flora saloon zote za jijini Mwanza Katika utangulizi wa mashindano hay...

DK. KITIMA AAGWA RASIMI

Aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo cha Mt.Augustino Mwanza(SAUT) Mh.Padri Dokta Charles Kitima leo amewaaga wanafunzi na jumuiya yote ya mtakatifu augustino katika kiwanja cha raila odinga na kumkaribisha Makamu Mkuu Mpya Padri Pius Mgeni kuwa ndiye makamu mkuu wa chuo kwa sasa. Akizungumza katika sherehe hiyo ya kumuaga padri charles kitima awewataka wasomi wote wa vyuo vikuu na viongozi wote kuiga mfumo wa hayati Mwalimu J.K Nyerere ambao aliutumia katika kuiongoza Tanganyika na kuwa mstari wa mbele katika kutetea rasimali za wazawa ambazo utoroshwa kwenda nje kwa njia za panya. Aidha,Amewataka vijana kuendelea kusoma kazi mbalimbali ambazo Hayati Mwalimu JK Nyerere katika uhai wake aliwahi kuziandika kwa ajili ya watanzania,kama marejeo ya kuondokana na matatizo yanayoikabili la tanzania kwa sasa.  Katika sherehe hiyo ya kumuaga iliendana sambamba na kikizinduua kitabu kipya kilichoandikwa na Boniphace Pesambili Mgeta ambaye ni mwanafunzi katika shahada ya mwasili...

MWILI WA MANGWEA ULIVYO WASILI JIJINI DAR-ES-SALAAAM LEO MCHANA

Wasanii,waandaji,mashabiki na wadau wa muziki wa kizazi kipya tanzania wameungana kupokea mwili wa marehemu Albert Mangwear pale Air Port Mchana leo hii  … Wasanii,waandaji,mashabiki na wadau wa muziki wa kizazi kipya tanzania wameungana kupokea mwili wa marehemu Albert Mangwear pale Air Port Mchana leo hii